Mjumbe wa Sekretarieti ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. Ismail Ngayonga akitoa ufafanuzi kuhusu kaziza Tume hiyo kwa Sarah Houlihanna Anna Lingken kutokaTaasisi ya Kisheria ya Women’s Link Worldwide ya nchini Colombia wakati walipotembelea banda la Tume hiyo katika maadhimisho ya siku ya Haki za Binadamu duniani zilizofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali, Bw. Mohammed Mtonga (wapili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Sekretarieti ya Tumeya Mabadiliko ya Katiba, wakiongozwa na Katibu waTume, Bw. Assaa Rashid (kushoto) na Naibu Katibu, Bw. Casmir Kyuki mara baada ya kufungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wajumbe wakamati ya ukaguzi wa Tume hiyo kuhusu ukaguzi wa fedha za umma.
December 31, 2012
Home
Unlabelled
PICHA MBALIMBALI ZA MATUKIO YA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA.
PICHA MBALIMBALI ZA MATUKIO YA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA.
Share This

About HABARI MSETO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment