HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

March 19, 2013

RAIS KIKWETE AZINDUA JENGO LA TEHAMA LA CHUO CHA VETA KIPAWA

 Rais Jakaya Kikwete akibonyeza kitufe wakati wa uzinduzi wa Chuo cha Tehama cha VETA Kipawa jijini Dar es Salaam jana. Kushoto Bolozi wa Korea, Young-Hoon. Kulia ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Shukuru Kawambwa.
 Rais Jakaya Kikwete akikata utepe wakati wa uzinduzi wa Chuo cha Tehama cha VETA Kipawa jijini Dar es Salaam jana. Wa pili kulia ni Balozi wa Korea, Young-Hoon na kulia ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Shukuru Kawambwa.
Rais Jakaya Kikwete akimwagilia maji mti baada ya kuzindua Chuo cha Tehama cha VETA Kipawa jijini Dar es Salaam.
 Rais Kikwete akiwa picha ya pamoja na Wakurugenzi wa Bodi ya VETA.
Rais Kikwete akipewa maelezo ya kazi katika Chuo cha Veta Kipawa.
 Baadhi ya vifaa vinavyotumiwa kufundishia wanafunzi.
 Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Zebadia Moshi akimuonesha Rais Jakaya Kikwete mashine za kisasa zinazotumiwa chuoni hapo.
 Mwalimu wa Chuo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Veta Kipawa, Adrian Aloyce akimpa maelezo Rais Jakaya Kikwete wakati wa uzinduzi wa chuo hicho jijini Dar es Salaam.
Mwalimu wa Chuo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Veta Kipawa, Adrian Aloyce akimpa maelezo Rais Jakaya Kikwete wakati wa uzinduzi wa chuo hicho jijini Dar es Salaam.





 Rais Jakaya Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa Jengo la Chuo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Veta Kipawa jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Pages