HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

August 26, 2013

CARDIFF CITY YAWAADABISHA MANCHESTER CITY 3-2 EPL

Unlikely victory: Frazier Campbell scored twice in Cardiff's shock win over title contenders Manchester City
Mshambuliaji Frazier Campbell akifunga moja ya mabao yake mawili kuipa Cardiff City ushindi wa 3-2 dhidi ya Manchester City. Superb strike: Edin Dzeko's goal came on the back of Manuel Pellegrini demanding he score more goals
Edin Dzeko akifunga moja ya mabao ya Manchester City inayonolewa na Manuel Pellegrini. Bao hilo pamoja na lile la Alvaro Negredo, hayakutosha kuipa City ushindi katika mechi yake ya pili ya Ligi Kuu ya England (EPL).
Bruising battle: Fraizer Campbell is dispossessed by City goalkeeper Joe Hart
Fraizer Campbell akimtambuka mlinda mlango wa Man City, Joe Hart katika mechi hiyo.
Chini: Mchoro unaoonesha namna bao la Alvaro Negredo lilivyofungwa kwenye dimba la nyumbani la Cardiff City.
Negredo goal
Midfield battle: Cardiff's Gary Medel vies for possession with City's Fernandinho
Kiungo wa Cardiff, Gary Medel akichuana na nyota mpya wa Man City, Fernandinho.
Despair: City defender poorly for Aron Gunnarsson's equaliser
Moja ya hekaheka langoni mwa Man City, ambapo ulinzi mbovu uliotajwa na kocha Pellegrini iliigharimu timu hiyo kwa kuruhusu kona mbili kuwa mabao yaliyofungwa na Campbell.
Frustration: Sergio Aguero can see victory slipping out of City's grasp
Mshambuliaji Sergio Aguero akisikitika kwa uchungu baada ya kukosa bao.
Hero: Fraizer Campbell's goals could prove vital all season for the newly-promoted side
Fraizer Campbell (10) akishangilia moja ya mabao yake na wachezaji wenzake.
Pressure: Alvaro Negredo's late goal gave City a lifeline and ensured a nervy finish
Mshambuliaji wa Man City, Alvaro Negredo akifunga bao lake akiwa katikati ya mabeki wa Cardiff City.


Time to celebrate: Cardiff fans do the Poznan to mark Campbell's goal

Mashabiki wa Cardiff City, wakishangilia kwa stahili ya aina yake baada ya Campbell kufunga bao la ushindi.
Despair: Alvaro Negredo knows City are running out of time to equalise
Alvaro Negredo akishika kichwa kwa uchungu baada ya kukosa moja ya nafasi muhimu ya kuisawazishia timu yake.
Unconvincing: Joe Hart again struggled, suggesting his form is yet to recover
Kipa Joe Hart (wa pili kushoto) akishindwa kuzuia kichwa cha Campbell kisitinge nyavuni katika mtanange huo.

United hero? Campbell came through the youth ranks at Old Trafford

Campbell akiruka juu kushangilia bao hilo. Huyu ni nyota wa zamani wa Manchester United, ambao ni mahasimu wa Man City.

No comments:

Post a Comment

Pages