HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 21, 2013

SIMBA YALAZIMISHWA SARE NA MBEYA CITY, ZATOKA 2-2

 Mshambuliaji wa Simba, Haruna Chanongo akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Mbeya City, Yohana Morris katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2. (Picha na Francis Dande) 
Moja ya hekaheka katika lango la Mbeya City.  
 Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe akishangilia moja ya magoli aliyoifungia timu yake ambapo katika mchezo huo alifunga mabao mawili.

No comments:

Post a Comment

Pages