HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

December 14, 2013

MCHEZAJI WA ZAMANI WA MAN UNITED, ANDY COLE ATUA DAR
 Mchezaji wa zamani wa Manchester United Andy Cole akiongea na waandishi wa habari katika mkutano wa kumkaribisha nchini uliondaliwa na kampuni ya Airtel kupitia promosheni yake ya Mimi ni Bingwa. Katikati ni Mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel Beatrice Singano na Mkurugenzi wa masoko wa kampuni hiyo Levi Nyakundi (kushoto). (Na Mpiga Picha Wetu)
 Mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel Tanzania Bi Beatrice Singano(Kushoto) akiteta jambo na mkongwe wa Klabu ya Manchester United Andy Cole(Katikati) wakati wa mkutano wa waandishi wa habari kumkaribisha gwiji huyo ulioandaliwa na Airtel jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Afisa Mahusiano wa Manchester United Bwana James Turner.   
 MCHEZAJI wa zamani wa Manchester United Andy Cole(katikati) akifafanua jambo kwenye mkutano wa waandishi wa habari ulioandaliwa na Airtel Tanzania kupitia promosheni yao ya Mimi ni Bingwa jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel Tanzania Bi Beatrice Singano na kulia ni   Afisa Mahusiano wa Manchester United Bwana James Turner.
Mchezaji wa zamani wa klabu ya Manchester United Andy Cole(kulia) pamoja na Mkurugenzi wa mawasiliano wa kampuni ya Airtel Tanzania Bi Beatrice Singano(katikati) wakionyesha T – Shirt ya promosheni ya Mimi ni Bingwa mbele ya waandishi wa habari katika hafla ya kumkaribisha mchezaji huyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Pages