HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

December 15, 2013

MDAU TANZANIA DAIMA ABDALLAH KHAMIS AONGEZA NONDO
Abdallah Khamis akikata keki.
 Mhariri wa Tanzania Daima Jumapili, Saleh Mohamed akimlisha keki ikiwa ni ishara ya kumpongeza mwandishi wa gazeti hili, Abdallah Khamis baada ya kutunukiwa Diploma ya Uandishi wa Habari katika mahafali ya 13 ya Chuo cha Uandishi wa habari cha TSJ jijini Dar es Salaam.
Abdallah Khamis akimlisha keki  Mhariri wa Tanzania Daima Jumapili, Saleh Mohamed.
 Abdallah Khamis akikata keki kwa ajili ya kumlisha rafiki yake, Janeth Kikoti. 
 Janeth Kikoti akimlisha keki rafiki yake.

No comments:

Post a Comment

Pages