HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

December 25, 2013

MEYA WA KINONDONI AKABIDHI ZAWADI ZA KRISMASI NA MWAKA MPYA
Meya wa  Manispaa ya Kinondoni,  Yusuph Mwenda (kushoto), akikabidhi zawadi za Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya kwa vikundi mbalimbali vya kulea yatima katika manispaa hiyo. (Na Mpiga Picha Wetu)
 Meya wa  Manispaa ya Kinondoni,  Yusuph Mwenda (kushoto), akikabidhi zawadi za Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya .
 Meya wa  Manispaa ya Kinondoni,  Yusuph Mwenda akiongea na waandishi wa habari.

No comments:

Post a Comment

Pages