HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 02, 2014

ZITTO KABWE ATINGA MAHAKAMA KUU KUWEKA PINGAMIZI MKUTANO WA KAMATI KUU YA CHADEMA KUMJADILI
 Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (kulia), akiwa na wakili wake, Albart Msando wakitoka Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam jana. Zitto alifungua kesi ya kuiomba Mhahakama hiyo kuzuia jina lake lisijadiliwe katika Kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kitakachofanyika Januari 3 jijini Dar es salaam. (Picha na Francis Dande)
Tabasamu....mahakamani.

 Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu (kushoto), wakili wa chama hicho, Peter Kibatala (katikati) wakitoka katika chumba cha Mahakama Kuu leo wakati wa kusikiliza shauri la Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe kutaka mahakama hiyo kuzuia jina lake lisijadiliwe katika Kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kitakachofanyika Januari 3 jijini Dar es Salaam.
 Tujadili.......
Wakili wa Chadema, Peter Kibatala akiteta jambo na wakili wa Mbunge wa Kigoma kasdkazini, Zitto Kabwe. Kulia ni Mbunge wa kigoma Kaskazini Zitto Kabwe. 
 Zitto akitoka na wakili wake.
 Tukajipange tena....
Zito akitoka Mahakamani pamoja na wakili wake baada ya shauri lake kuahirisha

No comments:

Post a Comment

Pages