HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

July 23, 2014

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA BRN


 GavanawaBenkiKuuya  Tanzania, Prof.Benno Ndulu akichangia hoja wakati wa mkutano wa kupitia taarifa ya mwaka mmoja ya utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa sasa (BRN) uliofanyika leo Jumatano Julai  23,  2014  katika ukumbi wa Mwalimu NyerereJijini  Dar es  Salaam. Kuliani Katibu Mkuuwa Wizaraya Majina Umwagiliaji Mhandisi Bashir Mrindoko.

 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akichangia hoja wakati mkutano wa kupitia taarifa ya mwaka mmoja yautekeleza jiwa Mpango wa Matokeo Makubwa sasa uliofanyika leo JumatanoJulai  23, 2014 katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini  Dar es  Salaam. Kuliani Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Asha- Rose  Migirona (katikati)  MtendajiMkuuwaOfisiyaRais-Usimamiziwa Utekelezaji wa Miradi  (PDB), Bw. OmariIssa.

 NaibuWaziriwaViwandanaBiashara, Mhe. Janet Mbene akichangia hoja wakati mkutano wa kupitia taarifa ya mwaka mmoja ya utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa sasa uliofanyika leo Jumatano Julai  23,  2014  katika ukumbi wa Mwalimu NyerereJijini  Dar es  Salaam. Kushoto ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Bw. JumanneSagini.

 NaibuWaziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Angellah Kairuki (katikati)  akichangia hoja wakati mkutano wa kupitia taarifa ya mwaka mmoja ya utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa sasa uliofanyika leo Jumatano Julai  23, 2014 katika ukumbi wa Mwalimu NyerereJijini Dar es  Salaam.
WaziriwaUchukuzi, Mhe. Harrison Mwakyembe  (kulia) akichangia akichangia hoja wakati mkutano wa kupitia taarifa ya mwaka mmoja ya utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa sasa uliofanyika leoJumatanoJulai  23,  2014  katika ukumbiwa Mwalimu Nyerere Jijini  Dar es  Salaam. Kutoka kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mhe. Shukuru Kawambwa, Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Mhe.  Mwigulu Nchemba,  na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, EliakimMaswi. (Picha na Ismail Ngayonga-MAELEZO)

No comments:

Post a Comment

Pages