Rais Dkt. Jakaya Kikwete akipokea maua
kutoka kwa watoto leo muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
mji wa Victoria Falls nchini Zimbabwe
ambapo atashiriki katika mkutano wa 34 wa siku mbili wa wakuu wa nchi za
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC. (Picha na Freddy Maro)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Rais Hifikepunye Pohamba wa Namibia muda mfupi kabla ya kuanza kwa mkutano wa 34 wa wakuu wa nchi za SADC unaofanyika katika mji wa Victoria Falls nchini Zimbabwe.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Rais Hifikepunye Pohamba wa Namibia muda mfupi kabla ya kuanza kwa mkutano wa 34 wa wakuu wa nchi za SADC unaofanyika katika mji wa Victoria Falls nchini Zimbabwe.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais Hifikepunye
Pohamba wa Namibia na Rais Jackob Zuma wa Afrika ya kusini wakijadiliana jambo
kabla ya kuanza kwa mkutano wa 34 wa wakuu wa nchi za SADC unaofanyika katika
hoteli ya Elephant Hills, mjini Victoria Falls nchini Zimbabwe.
No comments:
Post a Comment