Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia Mkono wananchi wakati
alipowasili katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja katika kilele cha
Sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika leo, (Picha
na Ikulu)
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein
akikagua gwaride la vikosi vya ulinzi na usalama leo wakati wa Sherehe za
miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar akifuatana na Paredi Kamanda Luteni
kanali Mohamed Khamis Adam katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
Wananchi mbali
mbali waliohudhuria katika sherehe za kilele cha miaka 51 ya Mapinduzi
Matukufu ya Zanzibar wakimasikiliza Rais wa Zanzibar.
Wafanyakazi wa
Ofisi ya rais Tawala za Mikoa na Idara maalum za SMZ wakipita mbele ya
jukwaa kwa maandamano wakati wa sherehe za Kuadhimisha miaka 51 ya
mapinduzi ya Zanzinar akiwa mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein.
Askari wa Jeshi la
Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakipita mbeke ya Mgeni Rasmi Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein kwa
Mwendo wa Pole pole.
Askari wa Kikosi cha Mafunzo SMZ wakipita mbeke ya Mgeni
Rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein kwa Mwendo wa Pole pole katika sherehe za kuadhimisha miaka 51
ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika Uwanja wa Amaan.
Askari wa Jeshi la
Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kikosi cha Bendera wakitoa salamu ya
Gwaride la mwendo wa haraka kwa Mgeni Rasmi Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein katika sherehe za
kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Askari wa Jeshi la Polisi Tanzania Kikosi
cha FFU wakitoa salamu ya Gwaride la mwendo wa haraka kwa Mgeni
Rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein katika sherehe za
kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Askari wa Jeshi la wanamaji Zanzibar Kikosi
cha KMKM wakitoa salamu ya Gwaride la mwendo wa haraka kwa Mgeni
Rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein katika sherehe za
kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Askari wa Jeshi la kujenga Uchumi Zanzibar (JKU) wakitoa salamu ya Gwaride la mwendo wa haraka kwa Mgeni
Rasmi.
Wasanii wa kutoka Gairo Mkoa wa Morogoro wakitoa burudani kwa
ngoma ya Mtunya wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akitoa hotuba yake wakati wa Kilele cha
Maadhimisho ya sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar
zilizofanyika leo katikauwanja wa Amaan Mjini Unguja.














No comments:
Post a Comment