HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 18, 2015

NCCR-Mageuzi YAWASHUKURU WAPIGA KURA JIMBO LA VUNJO

Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia (kulia) akipokea zawadi ya shati maalumu lililotolewa na wakazi wa jimbo la Vunjo kwa ajili ya kumpelekea  aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji mstaafu, Joseph Warioba, pia walikabidhi kiasi cha shilingi 200,000 ikiwa ni nauli ya kumwezesha kufika jimboni humo kutoa elimu juu ya Katiba. (Picha na Dixon Busagaga)
Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari akizungumza na wananchi katika jimbo la Vunjo,wakati wa mkutano wa hadhara ulioitishwa na Chama cha NCCR-Mageuzi kwa lengo la kuwashukuru kwa kuchagua wenyeviti wengi waliotokana na chama cha NCCR-Mageuzi,mkutano uliohutubiwa pia na Mbunge wa kuteuliwa na rais,James Mbatia.
 Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya ghalani katika mji mdogo wa Himo jimbo a Vunjo alipokuwa akiwashukuru wakazi wa jimbo hilo kwa kukipa ushindi chama chake katika uchaguzi wa serikali za Mitaa ulimalizika hivi karibuni.

1 comment:

  1. It is not my first time to visit this website, i am visiting this site
    dailly and obtain nice data from here everyday.

    Review my blog post: permanent weight loss

    ReplyDelete

Pages