| Prof. Ypersele nae akichangia jambo wakati wa mazungumzo yao. Kushoto ni Balozi wa Ubelgiji hapa nchini, Mhe. Koenraad. |
| Mazungumzo yakiendelea |
| Balozi Adam akisaini Kitabu cha Wageni Ofisini kwa Mhe. Mahadhi |
| Prof. Ypersele nae akisaini Kitabu cha Wageni |
| Mhe. Mahadhi katika picha ya pamoja na Prof. Ypersele |
| Mhe. Dkt. Mahadhi akimkaribisha ofisini kwake Balozi wa Comoro hapa nchini, Mhe. Dkt. Ahamada Al Badaoui Mohamed alipofika kwa ajili ya mazungumzo ya ushirikiano baina ya nchi hizi mbili. |
| Balozi Mohamed akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo yake na Mhe. Dkt. Mahadhi |
| Mhe. Dkt. Mahadhi akifafanua jambo kwa Mhe. Dkt. Mohamed. Wengine ni Bw. Adam Issara, Katibu wa Naibu Waziri na Bi. Zuleikha Tambwe, Afisa Mambo ya Nje |
| Mhe. Dkt. Mahadhi akiagana na Dkt. Mohamed. (Picha na Reuben Mchome) |


No comments:
Post a Comment