HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

March 19, 2015

ZIARA YA MHESHIMIWA WILLIAM LUKUVI LONGIDO ARUSHA

p20
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akipewa na Mkurugenzi Mkuu wa NHC maelezo ya uendelezaji wa eneo la Usa-river lililonunuliwa na NHC kwa ajili ya kujenga Jiji la kisasa hapo jana.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Williama Vangimembe Lukuvi jana alifungua nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Wilayani Longido na kuwataka wananchi kununua nyumba hizoili NHC iweze kujenga zingine kusaidia Wilaya hiyo kupata makazi bora. Picha zote na Muungano Saguya- Longido, Arusha
19
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akiondoka eneo la Meru Residential arpatments alipomaliza kukagua nyumba za makazi zilizojengwa na NHC na kuuzia wananchi hapo jana.
18
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu akimweleza Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi juu ya mpango wa NHC wa kujenga maduka makubwa ya kibiashara ili kuhudumia wananchi na wakazi walionunua nyumba za makazi za Meru alipomtembeza Waziri huyo hapo jana
9
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa nyumba na kuingia ndani kukagua nyumba hizo.
3
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akisalimiana na wafanyakazi wa NHC waliokuwa wamejipanga kumpokea Waziri Lukuvi kufungua nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Wilayani Longido.
2
Hizi ni nyumba za gharama nafuu zilizokamilika kujengwa na NHC Wilayani Longido na ambazo ziko tayari kuuzwa kwa wananchi. Ufunguzi wa nyumba hizi ulifanywa jana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi
1
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akikagua maandalizi ya ufunguzi wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Wilayani Longido, Arusha kabla ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi kufanya ufunguzi huo jana.
New Picture (127) New Picture (126)
Mbunge wa Longido Mhe. Lekule Laizer akilishukuru Shirika la Nyumba kwa kuiweka Wilaya ya Longido katika awamu ya kwanza ya utekelezaji wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na NHC katika Halmashauri mbalimbali za Wilaya hapa nchini.
New Picture (125)
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akihutubia halaiki ya wananchi wa Longido (hawapo pichani)waliohudhuria ufunguzi alioufanya wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Wilayani humo.
New Picture (124)
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daudi Ntibenda akilishukuru Shirika la Nyumba kwa kujengwa nyumba Wilayani Longido eneo ambalo ni kame na lenye changamoto kubwa ya kutekeleza ujenzi wa nyumba bora
New Picture (123)
Watendaji wa Wizara ya Ardhi Mkoani Arusha na wananchi wakifuatilia matukio ya ufunguzi wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Wilayani Longido jana.
New Picture (122)
Mkuu wa Wilaya ya Longido Bw. Ernest Kahindi alitoa nasaha zake wakati wa ufunguzi rasmi wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Wilayani Longido jana.
New Picture (121)
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akitoa maelezo kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi ya mradi wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa Wilayani Longido.
New Picture (120)
Wananchi wa Wilaya ya Longido wakifuatilia kwa makini hotuba mbalimbali zilizotolewa wakati wa ufunguzi wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Wilayani Longido
New Picture (119)
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akikagua vyumba mbalimbali vya nyumba bora zilizojengwa na NHC Wilayani Longido.
New Picture (117)
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akifungua rasmi nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Wilayani Longido. Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daudi Ntibenda, Mbunge wa Longido Mhe. Lekule Laizer na Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu.
New Picture (116)
Wafanyakazi wa NHC nao hawakuwa nyuma kumpokea Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi alipowasili mradi wa NHC Longido kufanya ufunguzi rasmi.
New Picture (115)
Mkurugenzi wa Usimamizi wa Mikoa na Utawala wa NHC Bw. Raymond Mndolwa akisalimiana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi alipowasili Longido kufungua rasmi nyumba za ghrama nafuu zilizojengwa na NHC Wilayani Longido.
New Picture (114)
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akimpokea kwa furaha Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi alipowasili katika mradi wa nyumba za gharama nafuu za NHC ili kufanya ufunguzi rasmi.
New Picture (113)
Msafara wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi ukiingia eneo la mradi wa nyumba za gharama nafuu zilijengwa na NHC Wilayani Longido ili kufungua rasmi nyumba hizo baada ya kukamilika ujenzi wake.
New Picture (111)
Hizi ni nyumba za gharama nafuu zilizokamilika kujengwa na NHC Wilayani Longido na ambazo ziko tayari kuuzwa kwa wananchi. Ufunguzi wa nyumba hizi ulifanywa jana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi
New Picture (127)
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akikagua nyumba za makazi zilizojengwa na NHC eneo la Levolosi Jijini Arusha.Nyumba hizi zinauzwa kwa wananchi.

No comments:

Post a Comment

Pages