HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

July 02, 2015

MUSLIM AWATAKA WAKAZI WA ILALA KUJITOKEZA KATIKA ZOEZI LA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

Mjumbe wa Bodi ya wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambaye pia ni mtia nia wa Jimbo la Ilala, Muslim Hassanali, akihutubia leo mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Billicanas, Posta Mpya jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande).

No comments:

Post a Comment

Pages