HABARI MSETO (HEADER)


 


Breaking

September 27, 2015

UPENDO NKONE AZINDUA ALBAMU YA TANO

Mwimbaji wanyimbo za injili, Upendo Nkone akiimba kwa hisia wakati wa uzinduzi wa albamu yake ya tano iitwayo ‘Omba Yesu Anasikia’ uliokwenda sambamba na kutimiza miaka 10 tangu aanze huduma ya uimbaji. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Francis Dande)
Waimabji wa nyimbo za injili, Masanja Mkandamizaji na Bonny Mwaitege wakiimba wakati wa uzinduzi wa albumu ya tano ya mwimbaji, Upendo Nkone uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Kwaya ya Rivers of Joy International-TAG-VCCT Beach ikiimba wakati wa uzinduzi huo.
 Meza Kuu.
 Upendo Nkone akiimba wakati wa uzinduzi huo.
Baadhi ya watu waliohudhulia uzindui huo wakicheza nyimbo za Upendo Nkone.

No comments:

Post a Comment

Pages