HABARI MSETO (HEADER)


 


Breaking

October 15, 2015

KIGODA KUZIKWA LEO

 Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Mgombea ubunge Jimbo la Handeni kupitia CCM, marahemu Dk Abdallah Kigoda wakati wa mapokezi ya mwili huo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam jana, ukitokea nchini India.

Na Mwandishi Wetu
 
 MWILI  wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Dk. Abdallah Kigoda  leo unatarajiwa  kuzikwa  kijijini kwao huko Wilayani  Handeni  Mkoani Tanga.

Mwili huo ulipokelewa jana  katika Uwanja wa Ndege ukitokea nchini India alikokuwa amelazwa.

Mwenyezi Mungu ailaze Mahala Pema Peponi.
AMEN
 Dk Magufuli akimfariji mtoto wa marehemu Dk Kigoda kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam
 Mkuu wa Mkowa wa Tanga, Mwantumu Mahiza akimfariji mjane wa marehemu Dk Kigoda, Rasul Kigoda

No comments:

Post a Comment

Pages