Jeneza
lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Mgombea
ubunge Jimbo la Handeni kupitia CCM, marahemu Dk Abdallah Kigoda wakati wa mapokezi ya mwili huo kwenye
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam jana,
ukitokea nchini India.
Na Mwandishi Wetu
MWILI wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Dk. Abdallah Kigoda leo unatarajiwa kuzikwa kijijini kwao huko Wilayani Handeni Mkoani Tanga.
Mwili huo ulipokelewa jana katika Uwanja wa Ndege ukitokea nchini India alikokuwa amelazwa.
Mwenyezi Mungu ailaze Mahala Pema Peponi.
AMEN
Dk Magufuli akimfariji mtoto wa marehemu Dk Kigoda kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam
Mkuu wa Mkowa wa Tanga, Mwantumu Mahiza akimfariji mjane wa marehemu Dk Kigoda, Rasul Kigoda




No comments:
Post a Comment