HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 23, 2015

MAHAFALI YA 46 SHULE YA SEKONDARI PUGU

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Mhandisi Suleiman Suleiman (kulia), ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya 46 ya kidato cha nne Shule ya Sekondari Pugu Dar es Salaam, akipata maelezo kutoka kwa mwanachama wa Klabu ya Mazingira ya Roots and Shoots wa shule hiyo jinsi wanavyotumia vipaji vyao kuhihadhi mazingira kwa kutengeneza kadi za mialiko zisizochafua mazingira, juzi. Wa pili kulia ni Mkuu wa shule hiyo, Jovinus Mutabuzi. (Na Mpiga Picha Wetu)
Kiongozi wa Skauti katika Shule ya Sekondari ya Pugu, Dar es Salaam akimvisha skafu, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Mhandisi Suleiman S. Suleiman aliyekuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya 46 ya kidato cha nne katika shule hiyo alipowasili ukumbini kuwatunuku vyeti, wahitimu. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Jovinus Mutabuzi.

No comments:

Post a Comment

Pages