HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 21, 2015

TAMWA YAWABADILISHA FIKRA WANAHABARI KANDA YA ZIWA

Mshindi wa Tuzo ya Mama Shujaa mwaka 2011 inayotolewa na Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kwa Mwanamke anaepambana na Ukatili wa Kijinsia Bi.Joyce Maimuna Amina Kanyamala ambae pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Mikonoyetu la Jijini Mwanza akiwasilisha Mada katika Semina kwa Wanahabari kutoka Mikoa ya Kanda ya Ziwa juu Vyombo vya Habari na Uchaguzi iliyoandaliwa na Chama cha cha Wanahabari Wanawake nchini Tanzania (TAMWA-Tanzania Media Women Association). 
Semina hiyo ilianza juzi Octoba 19 na inatarajiwa kufikia tamati hii leo Octoba 21 Jijini Mwanza.

No comments:

Post a Comment

Pages