HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 13, 2015

Anna Makinda kutogombea Uspika wa Bunge

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamko la kutogombea Uspika Msimu huu hawapo pichani katika mkutano wake  uliofanyika leo jijini Dar es salaam.
 Waandishi wa habari wakifuatilia kwa makini maelezo anayotoa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda hayupo pichani alipotoa tamko la kutogombea tena Uspika wa Bunge msimu huu.
Spika wa bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda katikati akiwa katika picha ya pamoja na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza mkutano wake katika ofisi za bunge leo jijini Dar es salaam. Picha na Ally Daud -Maelezo

No comments:

Post a Comment

Pages