Mwenyekiti
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (katikati),
akielekea ukumbini tayari kuanza Kikao cha Kamati Kuu (CC), ya Chadema ilipokutana
jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Francis Dande)
Mkurugenzi
wa Itifaki na Mawasiliano ya Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema akizungumza na
waandishi wa habari, kuhusu Kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kilichokutana
jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa Idara ya Uenezi, Hemed Ally na
Msemaji wa Chadema, Tumaini Makene.
Wajumbe wa Kamati Kuu wakiwa katika Kikao. Wa kwanza kulia ni Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye.
Wajumbe wa Kikao.
Kikao kikiendelea.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),
Freeman Mbowe (katikati), akiongoza kikao cha Kamati Kuu (CC), kilichofanyika jijini Dar es
Salaam leo.
No comments:
Post a Comment