Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa wilaya mstaafu, Mama Sanka baada ya kuwasili kwenye makazi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara mjini Babati akiwa katika ziara ya mkoa huo, Februari 19, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama sanamu ya binadamu wakati alipotembelea moja ya darasa la Chuo cha Uuguzi katika hospitali ya Haydom wilayani Mbulu, Februari 20, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mtafiti katika hospitali ya Haydom wilayani Mbulu, Rosemary Mshama (kulia) wakati alipotembelea Kituo cha Utafiti cha hospitali hiyo Februari 20, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia ngoma ya asili ya kabila la Wahatzabe wakati alipowasili kwenye hospitali ya Haydom kuanza ziara ya wilaya ya Mbulu, Februari 20, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment