
Wachezaji wa Simba wakishangilia na Kombe lao baada ya kuifunga Mbao FC 2-1 katika mchezo wa fainali ya ASFC uliofanyika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
Mohamed Hussein (kushoto), akichuana na mchezaji wa Mbao FC.
Laudit Mavugo (kushoto), akiwania mpira na mchezaji wa Mbao FC.
Wachezaji wa Simba wakishangilia na Kombe lao baaada ya kuifunga Mbao FC 2-1 katika mchezo wa fainali ya Kombe la ASFC.
Wachezaji wa Simba wakishangilia na Kombe lao baada ya kuifunga Mbao FC 2-1 katika mchezo wa fainali ya ASFC uliofanyika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
No comments:
Post a Comment