HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 04, 2017

RATIBA MPYA LIGI KUU YA VODACOM

Kikosi kazi, kilichopewa kazi maalumu ya kupitia upya Ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), kimemaliza majukumu yake na sasa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linawatangaza ratiba mpya.

Kwa mujibu wa ratiba mpya, baada ya michezo ya Agosti 26 na 27, Ligi Kuu ya Vodacom kwa sasa itaendelea Septemba 9 na 10 kama ambavyo inajionyesha kwenye kiambatanisho.

……………………………………………………………………..……………..……
IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA

No comments:

Post a Comment

Pages