HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 22, 2017

BENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA GARI KWA POLISI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM

Gari lililotolewa na Benki ya CRDB kwa ajili ya Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa akiongozana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, akikata utepe wakati wa hafla ya kupokea msaada wa gari lililotolewa na Benki ya CRDB kwa ajili kuongeza ufanisi wa utendaji wa Jeshi la Polisi. Hafla hiyo ilifanyika Makao Makuu ya Benki hiyo jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, akikata utepe wakati wa hafla ya kupokea msaada wa gari lililotolewa na Benki ya CRDB kwa Jeshi la Polisi. Hafla hiyo ilifanyika makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei na kulia ni Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tully Mwambapa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akimkabidhi Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, msaada wa gari kwa Jeshi la Polisi. Hafla hiyo ilifanyika Makao Makuu ya Benki hiyo jijini Dar es Salaam.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, akipeana mkono na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.
Kamanda Mambosasa akijaribu gari lililotolewa na Benki ya CRDB kwa ajili ya kuongeza ufanisi wa utendaji wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Pages