HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 07, 2017

MOJABET YAKABIDHI KITITA CHA SHS. MILIONI 10 KWA MSHINDI WA JACKPOT MONDAY

Balozi wa MojaBet, Dorice Kaizirage 'Mama Ashura', akimkabidhi mfano wa hundi mshindi wa Sh. Mil. 10 wa Jackpot Monday, Paschal Onesmo.Wa pili kushoto ni balozi wa MojaBet, Hassan Daffur na Anna Exavery Ebitoke'. (Picha na Francis Dande).
Mshindi wa Jackpot Monday, Paschal Onesmo (kulia), akipokea kitita cha Sh. Mil. 10 kutoka kwa Balozi wa MojaBet, Dorice Kaizirage 'Mama Ashura', baada ya kuibuka mshindi katika droo iliyochezeshwa na MojaBet.
Mshindi wa Jackpot Monday akiwa katika picha ya pamoja na mabalozi wa MojaBet.

No comments:

Post a Comment

Pages