Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipita kwenye gwaride la Kimya lililoandaliwa kwa heshma na Jeshi la Uganda mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini Uganda na kurejea nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa na Mke wake Mama Janeth Magufuli wakifurahia
ngoma ya asili iliyokuwa ikipigwa na watoto wa nchini Uganda katika eneo
la mpakani la Mutukula kabla ya kurejea nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mh. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa mpakani
Mutukula upande wa Tanzania mara baada ya kuwasili akitokea Uganda.
No comments:
Post a Comment