HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

February 07, 2018

SIMBA YAIGONGA AZAM FC 1-0

 Okwi akiwatoka wachezaji wa Azam FC.
 Hekaheka katika lango la Azam FC.
Mlinda mlango wa Azam FC, Razak Abalora akidhibitiwa baada ya mchezo kati ya timu hiyo na Simba wakati akimlalamikia mwamuzi.
 Kiungo Mkabaji wa Azam, Stephan Kingue akiondoa mpira mbele ya shombuliaji wa Simba Emmanuel Okwi katika dimba la Taifa jana, kwenye mchezo wa Ligi Kuu kati ya timu hiyo na Simba. Simba ilishinda bao 1-0.
Wachezaji wa Simba wakimpongeza mshambuliaji wa timu hiyo, Emmanuel Okwi baada ya kuifungia timu hiyo goli la pekee katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara kati ya timu hiyo na Azam fc, katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda bao 1-0.
Mashabiki wa Simba wakishangilia baada ya mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya timu hiyo na Azam FC, uliopigwa katika Dimba la Taifa jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda bao 1-0. (Picha Said Powa).

No comments:

Post a Comment

Pages