HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

April 18, 2018

TBS YATOA LESENI YA UBORA KWA KAMPUNI YA MATI SUPER BRANDS

Kaimu Mkurugenzi wa TBS, Tumaini Mtitu, akizungumza katika hafla ya kukabidhi leseni na nyeti kwa wazalishaji 59 waliogawanyika katika sekta mbalimbali.

Meneja Mauzo na Masoko wa Kampuni ya Mati Super Brands Ltd, inayotengeneza vinywaji vikali aina ya Sed Cane Spirit na Strong, Castro Temba (kushoto), akipokea Leseni ya kutumia Alama ya Ubora kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Tumaini Mtitu, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya washiriki wa hafla hiyo.

Meneja Mauzo na Masoko wa Kampuni ya Mati Super Brands Ltd, Castro Temba, akionyesha Leseni ya Ubora

Mwanasheria wa Kampuni ya Mati Super Brands Ltd, Charlotte Lupembe, akiwa katika hafla hiyo.

Meneja Uzalishaji wa Kampuni ya Mati Super Brands Ltd, Gasper Mlay, akiuliza swali wakati wa hafla ya kukabidhiwa Leseni ya kutumia Alama ya Ubora kutoka TBS.
Washiriki kutoka makampuni mbalimbali.

Meneja Uzalishaji wa Kampuni ya Mati Super Brands Ltd, Gasper Mlay, akizungumza na waandishi wa habari baada ya kampuni hiyo kukabidhiwa Leseni ya kutumia Alama ya Ubora kutoka TBS.

Wafanyakazi wa Kampuni ya Mati Super Brands Ltd, inayotengeneza vinywaji vikali aina ya Sed na Strong wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa Leseni ya kutumia Alama ya Ubora kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya bidhaa zilizopata Leseni ya kutumia Alama ya Ubora kutoka TBS. 

 
Na Mwandishi Wetu

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Shirikaka la Viwango Tanzania (TBS), Mhandisi Tumaini Mtitu, amesema alama ya ubora kwa bidhaa ni chachu ya maendeleo ya biashara kitaifa na kimaifa.

Mtitu aliyasema hao juzi jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kukabidhi leseni na nyeti kwa wazalishaji 59, waliogawanyika katika sekta mbalimbali ikiwamo usindikaji wa vyakula vya kuku, uhandisi mitambo na umeme.

Mhanisi Mtitu alisema: "alama hii mliyopewa ni uthibitisho kuwa bidhaa zenu zimekaguliwa na kupimwa kwenye maabara za TBS zenye umahiri wa kimatifa na kutambulika,” alisema.

Akuzungumza baada ya kupata leseni na vyeti vya ubora, Meneja Uzalishaji wa Kampuni Mati Super Brands Ltd, Gasper Mlay, alisema kuwa kampuni yao inatengeneza bidhaa kwa kukidhi masoko ya ndani na ya nje.

"Bidhaa zetu tunatengeneza bidhaa ambayo inakidhi masoko ya ndani na ya nje,"alisema Mlay.

No comments:

Post a Comment

Pages