HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

August 21, 2018

WAZIRI LUGOLA AKUTANA NA BAADHI YA WANANCHI NA KUSIKILIZA KERO ZAO

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akizungumza na baadhi ya wananchi waliofika Ofisi Ndogo ya wizara, jijini Dar es Salaam, jana kuwasilisha malalamiko   mbalimbali ili wapate ufumbuzi wa kero zao. Picha na Wizara  ya Mambo ya  Ndani  ya  Nchi.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola(katikati), akimsikiliza mmoja wa wananchi,  Benadecta Kalabani (wa kwanza kulia), aliyefika ofisini kwa waziri, jijini Dar es Salaam, kuelezea malalamiko  yake.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akimsikiliza mmoja wa wananchi,  Sheikh Issa, aliyefika ofisini kwa waziri, jijini Dar es Salaam, kuelezea malalamiko  yake juu ya ndugu yake kuuawa.
  Waziri  wa Mambo  ya  Ndani  ya  Nchi, Kangi Lugola, akimsikiliza  mmoja wa wananchi,  Joseph Ashery,  aliyefika ofisini kwa waziri, jijini Dar es Salaam kuelezea  malalamiko  yake.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akimsikiliza mmoja wa wananchi, Martha Mtungi (wa kwanza kulia), aliyefika ofisini kwa waziri, jijini Dar es Salaam, kuelezea malalamiko  yake.

No comments:

Post a Comment

Pages