HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

April 10, 2019

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA WARSHA YA 24 YA REPOA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Taasisi ya Utafiti ya REPOA, wakati alipowasili kwenye ufunguzi wa Warsha ya 24 ya Utafiti  (REPOA) inayofanyika leo April 10, 2019 jijini Dar Es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Taasisi ya Utafiti ya REPOA, wakati alipowasili kwenye ufunguzi wa Warsha ya 24 ya Utafiti  (REPOA) inayofanyika leo April 10, 2019 jijini Dar Es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa Warsha ya 24 ya Utafiti wa masuala mbalimbali, wakifuatilia kwa makini Hotuba ya Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akifungua Warsha ya 24 ya Utafiti wa masuala mbalimbali iliyoandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa masuala ya Umaskini (REPOA) Warsha hiyo imefunguliwa leo jijini  Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Warsha ya 24 ya Utafiti wa masuala mbalimbali iliyoandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa masuala ya Umaskini (REPOA) Warsha hiyo imefunguliwa leo April 10,2019 jijini Dar Es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Viongozi na Washiriki wa Warsha ya 24 ya Utafiti iliyoandaliwa na Taasisi yaUtafiti wa Masuala ya Umaskini (REPOA) jijini Dar Es Salaam leo April 10,2019. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).

No comments:

Post a Comment

Pages