Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akimsikiliza Kaimu
Muwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Natalie
Bovely alipomtembelea ofisini kwake Jijini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Bunge).
Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akimsikiliza Kaimu
Muwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Natalie
Bovely alipomtembelea ofisini kwake Jijini Dodoma. Mgeni huyo aliambatana na
Mshauri Mkuu wa Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo (LSP), Ndugu Takawira
Musavengana na Mratibu wa mradi huo Ndugu
Mary Lasway.
Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai akipokea zawadi
kutoka kwa Kaimu Muwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa
(UNDP), Ndugu Natalie Bovely alipomtembelea ofisini kwake Jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment