HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 06, 2019

YANGA YAONJA USHINDI, YAIFUINGA COASTAL UNION 1-0

 Beki wa kushoto wa Coastal Union ya Tanga, Omary Salum akimiliki mpira mbele ya beki wa kulia wa Yanga, Juma Abdul wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara (VPL), uliopigwa kwenye dimba la Uhuru jijini Dar es Salaam. (Picha na Said Powa).
 Beki wa kushoto wa Coastal Union ya Tanga, Omary Salum akijaribu kumdhibiti Mshambuliaji wa Yanga, David Molinga wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara (VPL), uliopigwa kwenye dimba la Uhuru jijini Dar es Salaam. (Picha na Said Powa).

No comments:

Post a Comment

Pages