HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 23, 2020

KANGI LUGOLA ATUMBULIWA

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akitoka kwenye hafla ya makabidhiano ya nyumba za askari wa magereza Ukonga, jijini Dar es Salaam, ambayo ilikuwa kazi yake ya mwisho kama waziri wa wizara hiyo jana, baada ya Rais John Magufuli kutengua uteuzi wake. (Na Mpiga Picha Wetu).
  Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akiongozana na Kamishina Jenerali wa Jeshi la Zimamoto Tanzania, Thobiasi Andegenye, wakati wakitoka kwenye hafla ya makabidhiano ya nyumba za askari wa magereza Ukonga, jijini Dar es Salaam, ambayo ilikuwa kazi yao ya mwisho, baada ya Rais John Magufuli kutengua uteuzi wao.
 Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akiongozana na Kamishina Jenerali wa Jeshi la Zimamoto Tanzania, Thobias Andengenye wakati wakitoka kwenye hafla ya makabidhiano ya nyumba za askari wa magereza Ukonga, jijini Dar es Salaam, ambayo ilikuwa kazi yao ya mwisho, baada ya Rais John Magufuli kutengua uteuzi wao.
 Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akizungumza na waandishi wa habari mara baada Rais John Magufuli kutengua uteuzi wake.

No comments:

Post a Comment

Pages