HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

February 12, 2020

SEKTA YA UTALII YACHANGIA DOLA MILIONI 2.4

Na Magreth Mbinga, Dar es Salaam

Naibu Waziri wa Elimu na Teknolojia Mh.William Ole Nasha amesema kwa mwaka 2019 nchi ya Tanzania imeingiza kiasi cha dola Million 2.4 katika sekta ya utalii.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa kufunga semina ya siku mbili iliyoandaliwa na Chuo Kikuu cha Utalii katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano JNICC jijini Dar es Salaam.

Aidha Ole Nasha amevitaka vyuo vyote vinavyotoa elimu ya utalii kufundisha ukalimu na utii kwa wanafunzi wao

"Wakufunzi wote wanatakiwa kutoa elimu ya ukalimu na utii kwa wanafunzi wao mbali na elimu yao ya utalii kwa ukarimu wao kutavutia watalii kufika kwa wingi nchini kwaajili ya kufanya utalii". anasema Olenasha.

No comments:

Post a Comment

Pages