HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

February 14, 2020

Ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti katika Ofisi ya Msajili wa Hazina

  Msajili wa Hazina, Athumani Mbuttuka, akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Ofisi ya Msajili wa Hazina kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti leo jijini Dar es Salaam.
 Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Adadi Rajabu akifafanua jambo wakati wa kikao cha pamoja kati ya Menejimenti ya Ofisi ya Msajili wa Hazina na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bajeti, leo jijini Dar es Salaam.
 Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge,  akichangia hoja katika kikao cha pamoja kati ya Menejimenti ya Ofisi ya Msajili wa Hazina na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bajeti leo jijini Dar es Salaam.
Shally Raymond, Viti Maalum Kilimanjaro.
Picha ya pamoja.  
Picha kwa hisani ya Kitengo cha Habari, Ofisi ya Msajili wa Hazina.

No comments:

Post a Comment

Pages