HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

March 31, 2020

TUME YA MADINI YAJIVUNIA MAFANIKIO

Tume ya Madini inaendelea kutoa huduma kwa kasi kwa wadau wa madini nchini lengo likiwa ni kuhakikisha Sekta ya Madini inakuwa na mchango mkubwa kwenye ukuaji wa Sekta ya Madini Nchini, najisikia fahari kuwa sehemu ya watumishi katika Taasisi hii, tuendelee kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli  na Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko kwenye Usimamizi wa Sekta ya Madini"
  
Ofisa wa Fedha Tume ya Madini, Saada Karabaki.

No comments:

Post a Comment

Pages