HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

April 19, 2020

WAUGUZI WAPIGWA MSASA-RUVUMA

Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Wilaya Tunduru mkoani Ruvuma, Renatus Mathias, akizungumza wakati wa mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uwezo wauguzi na matatibu kutoka zahanati na vituo vya Afya  mafunzo yaliyolenga kuwajengea uwezo  ikiwa ni mkakati wa Hospitali hiyo kupunguza vifo vya akina mama wajawazito wakati wa kujifungua,watoto wachanga na walio chini ya umri wa miaka mitano,katikati Mganga Mkuu wa wilaya hiyo Dkt Wendy Robert na kulia afisa lishe wa wilaya Martha Kibona.
 
Mganga Mkuu wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Dkt Wendy Robert katikati  na Muuguzi Mkuu wa wilaya hiyo Renatus Mathias wa nne kutoka kushoto wakiwa  katika picha ya pamoja na baadhi ya wauguzi waliopata mafunzo ya kuwajengea uwezo juu ya mkakati wa wilaya hiyo  katika kupunguza vifo vya mama wajawazito,watoto wachanga na walio chini ya umri wa miaka mitano. (Na Mpiga Picha Wetu).

No comments:

Post a Comment

Pages