HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

July 28, 2020

RAIS MAGUFULI ATOKWA NA MACHOZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifuta machozi wakati akielezea namna alivyomjua Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa wakati akihutubia katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Pages