HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 24, 2020

CHADEMA KUPUNGUZA MAPORI ILI KUWAKINGA WANANCHI NA WANYAMA WAHARIBUFU


Mgombea Mwenza wa Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe. Salum Mwalimu, akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika katika eneo la Stendi jimbo la Meatu mkoani Simiyu. Mgombea huyo alitoa ahadi ya kupunguza mapori ili kuwakinga wananchi na wanyama waharibifu.

Wananchi wakifuatilia mkutano wa kampeni za CHADEMA.

Mgombea ubunge jimbo la Meatu, Jonston Luzinkya (kulia), akifuatilia mkutano wa kampeni jimboni humo.
Wagombea ubunge jimbo la Meatu.


Mgombea Mwenza Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe. Salum Mwalimu, akimnadi mgombea ubunge jimbo la Meatu, Jonston Luzinkya, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika eneo la Stendi. 

 

Mgombea ubunge jimbo la Meatu, Jonston Luzinkya, akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika katika eneo la Stendi.  


Mgombea Mwenza wa Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA Mhe. Salum Mwalimu, akiondoka katika eneo ulipofnyika mkutano wa kampeni jimbo la Meatu mkoani Simiyu. 
 

No comments:

Post a Comment

Pages