HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 23, 2020

MGOMBEA MWENZA CHADEMA MHE. SALUM MWALIMU AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI JIMBO LA ITILIMA MKOANI SIMIYU

 

Mgombea Mwenza wa Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe. Salum Mwalimu (katikati), akiwa na viongozi wa CHADEMA kabla ya kuhutubia mkutano wa kampeni katika kijiji cha Lagangabilili jimbo la Itilima mkoani Simuyu Septemba 23, 20202.


Mgombea Mwenza wa Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe. Salum Mwalimu, akivishwa vazi la asili kabla ya kuanza kuhutubia mkutano wa kampeniuliofanyika leo Septemba 23, 20202 katika kijiji cha Lagangabilili jimbo la Itilima mkoani Simuyu.

 
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe. Salum Mwalimu, akizungumza na wananchi wa kijiji cha Lagangabilili jimbo la Itilima mkoani Simuyu Septemba 23, 2020.
 
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe. Salum Mwalimu, akimnadi mgombea ubunge jimbo la Itilima, Machumu Kadutu, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo Septemba 23, 2020 katika kijiji cha Lagangabilili mkoani Simiyu.
 
Mgombea ubunge jimbo la Itilima, Machumu Kadutu, akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo Septemba 23, 2020 katika kijiji cha Lagangabilili mkoani Simiyu.
Wagombea udiwani wa kata mbaliimbali katika jimbo la Itilima.
 
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe. Salum Mwalimu, akimnadi mgombea udiwani jimbo la Itilima, Eric Mgaya, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo Septemba 23, 2020 katika kijiji cha Lagangabilili mkoani Simiyu.

Mgombea udiwani jimbo la Itilima, Eric Mgaya, akiomba kura kwa wananchi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo Septemba 23, 2020 katika kijiji cha Lagangabilili mkoani Simiyu.

 

Kuchangia chama.Mgombea Mwenza wa Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Mhe. Salum Mwalimu, akiwapungia mkono wananchi wa Kijiji cha Lagangabilili  jimbo la Itilima mara baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo Septemba 23, 2020 katika kijiji cha Lagangabilili mkoani Simiyu.

No comments:

Post a Comment

Pages