HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

May 18, 2021

ALLY KAYOMBO AIBUKA MSHINDI WA SHINDANO LA GOFU KWA WATOTO


Mwenyekiti wa klabu Brig Jen Michael Luwongo Mstaafu akimvisha medali Nahodha wa timu ya watoto kwa wasichana Jonada Omuteku mara baada ya kumalizika zoezi la kugawa zawadi kwa waliofanya vizuri katika shindano la (Junior’s golf Tournament) lililofanyika Mei 16,2021 Lugalo.


Mchezaji Ally Kayombo aliyeibuka mshindi wa jumla wa shindano la  (Junior’s golf Tournament) akipiga mpira katika moja ya kiwanja cha gofu Lugalo.

 Katibu wa Mashindano TGU Injinia Enock Magile akimuangalia mchezaji  Ibrahim Juma anavyopiga mpira katika viwanja vya gofu Lugalo wakati wa shindano la  (Junior’s golf Tournament) lililofanyika Mei 16, 2021.

Wachezaji watoto wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Brig. Jen Michael Luwongo Mstaafu viongozi na walezi na viongozi mara baada ya kumalizika zoezi la kugawa zawadi kwa waliofanya vizuri katika shindano la (Junior’s golf Tournament) lililofanyika Mei 16,2021 Lugalo.

No comments:

Post a Comment

Pages