Kaimu
Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii Sensa ya Watu Ruthi Minja,
akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ukuaji wa uchumi, mazungumzo
hayo yalifanyika ofisini kwake jijini Dodoma leo Novemba 9, 2021. Kushoto ni Kaimu
Mkurugenzi wa Takwimu za Uchum, Daniel Masolwa na Mchumi kutoka Benki
Kuu Sia Shayo. (Picha na Deus Mhagale).
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Felchesmi Mramba, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma, akizungumzia Wizara ya Nishati katika miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani,George Simbachawene ndani ya ukumbi wa bunge Kushoto ni Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete.
No comments:
Post a Comment