Na Mwandishi Wetu
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amemteua Dk. Ladislaus Chang'a kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA).
Uteuzi wa Dk. Chang'a umetangazwa leo Januari 29,2026 na Katibu Mkuu Kiongozi Dk. Moses Kusiluka kupitia taarifa kwa vyombo vya habari.
Kabla ya uteuzi huo, Dk. Chang'a alikuwa akikaimu nafasi ya Ukurugenzi Mkuu wa TMA, baada ya kustaafu kwa Dk. Agnes Kijazi aliyehudumu nafasi hiyo kwa karibu miaka 20.
January 30, 2026
Home
Unlabelled
Rais Samia amteua Dk. Chang'a Mkurugenzi Mkuu TMA
Rais Samia amteua Dk. Chang'a Mkurugenzi Mkuu TMA
Share This
About HABARI MSETO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.



No comments:
Post a Comment