HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 27, 2013

APIGWA RISASI KWA UGOMVI WA SHs. 100

 MKAZI wa mtaa wa Tandika,Frank Filias (25) akiwa amelazwa katika hospitali ya wilaya Temeke wodi namba saba baada ya kupigiwa risasi na mfanyabiashara mmoja wa mbao kufuatia ugomvi wa kudaiana Sh 100 ya maji ambayo mama yake mzazi, Sarah Mwaikatale alidaiwa na jirani yake kuwa alishindwa kumlipa (Picha Na Christopher Nyenyembe )

No comments:

Post a Comment

Pages