HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

July 21, 2013

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFANYA ZIARA YA KUKAGUA SHUGHULI ZA USAFI WA MAZINGIRA MKOA WA DAR ES SALAAM

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mama Lishe, katika Kituo cha Mabasi cha Amani Mbagala Zakhiem, Koletha Jerome (kushoto) na Siwazuri Kimbachi, wakati alipokuwa kwenye Ziara ya kutembelea na kukagua shughuli za usafi Mkoa wa Dar es Salaam leo Julai 21, 2013. Picha na OMR
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na baadhi ya viongozi wakati akitembelea kukagua shughuli za usafi wa mazingira katika Kituo cha Mabasi cha Amani Mbagala Zakhiem, alipokuwa kwenye ziara yake kutembelea na kukagua shughuli za usafi Mkoa wa Dar es Salaam.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Viongozi wa Kata ya Ukonga kuhusu usafi wa mitaro ya maji machafu, wakati alipokuwa kwenye ziara yake kutembelea na kukagua shughuli za usafi Mkoa wa Dar es Salaam
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na baadhi ya wafanyabiashara wa Matango katika Soko la Buguruni, wakati alipokuwa kwenye ziara yake kutembelea na kukagua shughuli za usafi Mkoa wa Dar es Salaam leo Julai 21, 2013.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiangalia Mtaro wa maji machafu uliopo Mayfear Plaza Mikocheni wakati alipokuwa kwenye ziara yake kutembelea na kukagua shughuli za usafi Mkoa wa Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na mmoja wa Wakazi wa Msasani baada ya kutembelea kuona Mitaro ya maji machafu ya eneo hilo, wakati alipokuwa kwenye ziara yake kutembelea na kukagua shughuli za usafi Mkoa wa Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Pages