HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 17, 2013

36 WACHUKUA FOMU TFF, 18 WAREJESHA



Wakati kesho ndiyo mwisho wa kuchukua na kurejesha fomu za kuwania uongozi kwenye uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPL Board) waombaji 36 wameshachukua na 18 tayari wamesharejesha.

Idadi hiyo ni kufikia leo mchana (Januari 17 mwaka huu). Pia Kamati ya Uchaguzi ya TFF inasisitiza kuwa wanaorejesha fomu hizo kwa email wanatakiwa kuzituma kwa Katibu Mkuu wa TFF kwa email ya tfftz@yahoo.comna si kwa email binafsi za wajumbe wa Kamati ya Uchaguzi au maofisa wa TFF.

Waombaji wanne walioongezeka katika orodha ni Blassy Kiondo kwa Kanda ya Katavi na Rukwa, Eliud Mvella (Mbeya na Iringa), Geofrey Nyange (Morogoro na Pwani), na Omari Abdulkadir kwa Kanda ya Dar es Salaam.

Orodha kamili ya waombaji ni Athuman Nyamlani, Jamal Malinzi na Omari Mussa Nkwarulo (urais) wakati waombaji wa umakamu wa rais mpaka sasa ni Michael Wambura, Ramadhan Nassib na Wallace Karia.

Kwa upande wa wajumbe wa Kamati ya Utendaji na kanda zao kwenye mabano ni Salum Chama (Kagera na Geita), Mugisha Galibona, Samuel Nyalla, Titus Osoro na Vedastus Lufano (Mara na Mwanza).

Epaphra Swai na Mbasha Matutu (Shinyanga na Simiyu), Charles Mugondo na Elly Mbise (Arusha na Manyara), Yusuph Kitumbo (Kigoma na Tabora), Ayubu Nyaulingo, Blassy Kiondo, Nazarius Kilungeja na Selemani Kameya (Katavi na Rukwa) na James Mhagama (Njombe na Ruvuma).

Athuman Kambi na Zafarani Damoder (Lindi na Mtwara), Hussein Mwamba na Stewart Masima (Dodoma na Singida), Farid Nahdi, Geofrey Nyange na Twahili Njoki (Morogoro na Pwani), Elias Mwanjala na Eliud Mvella (Iringa na Mbeya), Khalid Mohamed (Kilimanjaro na Tanga) na Muhsin Balhabou, Omari Abdulkadir na Shaffih Dauda (Dar es Salaam).

Kwa upande wa Bodi ya Ligi Kuu (TPL Board) waliochukua fomu mpaka sasa ni wawili tu. Yusuf Manji amechukua fomu ya uenyekiti wakati Said Mohamed amechukua fomu ya kuwania umakamu mwenyekiti.

SUPER WEEK TENA NDANI YA LIGI KUU YA VODACOM
Mzunguko wa pili ya Ligi Kuu ya Vodacom utaanza Januari 26 mwaka huu huku kukiwa na maombi ya televisheni ya SuperSport kuonesha mechi za Super Week kama ilivyokuwa katika mzunguko wa kwanza.

Raundi tano za awali katika ratiba ya mzunguko wa pili zinabaki kama zilivyo wakati nyingine zilizobaki zitatolewa baada ya kuingiza mechi za Super Week.

Wakati huo huo, mzunguko wa pili wa Ligi Daraja la Kwanza unatarajia kuanza Januari 26 mwaka huu. Ratiba ya ligi hiyo na tarehe rasmi ya kuanza itatangazwa baada ya kupitiwa na Kamati ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inayotarajiwa kukutana mwishoni mwa wiki.

Boniface Wambura
Ofisa Habari
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

12 comments:

  1. I tend not to leave a ton of comments, however i did some searching and wound up
    here "36 WACHUKUA FOMU TFF, 18 WAREJESHA". And I actually do
    have 2 questions for you if it's allright. Is it simply me or does it look as if like some of the responses come across as if they are left by brain dead visitors? :-P And, if you are posting at additional social sites, I would like to keep up with everything fresh you have to post. Could you list of all of your social sites like your Facebook page, twitter feed, or linkedin profile?
    Have a look at my homepage ; jobs for stay at home moms online

    ReplyDelete
  2. This blog was... how do I say it? Relevant!! Finally I have found something which helped me.
    Many thanks!
    Also visit my page - best affordable hosting

    ReplyDelete
  3. My partner and I stumbled over here from a
    different web page and thought I might check things out.
    I like what I see so now i am following you. Look forward to looking into your web page yet again.
    Feel free to visit my homepage ; beitragsbemessungsgrenze private krankenversicherung

    ReplyDelete
  4. Thanks designed for sharing such a nice thought, piece of writing is fastidious, thats why i have read it fully
    Also visit my blog post seo expert in delhi

    ReplyDelete
  5. I leave a response each time I especially enjoy a
    post on a site or if I have something to valuable to contribute to
    the discussion. It's caused by the fire displayed in the post I read. And on this article "36 WACHUKUA FOMU TFF, 18 WAREJESHA". I was actually moved enough to post a leave a responsea response ;) I do have some questions for you if you don't mind.
    Is it only me or do a few of the remarks appear as if
    they are coming from brain dead visitors? :-P And, if you are posting at additional
    sites, I'd like to keep up with everything fresh you have to post. Could you list the complete urls of all your shared sites like your Facebook page, twitter feed, or linkedin profile?
    Here is my homepage : Private Krankenversicherung Gesetzliche Krankenversicherung

    ReplyDelete
  6. Unquestionably believe that that you stated. Your favorite
    reason seemed to be on the internet the simplest thing to take into account
    of. I say to you, I definitely get annoyed at the same time as folks
    consider issues that they plainly do not realize about.
    You controlled to hit the nail upon the top and defined
    out the whole thing with no need side-effects , other people can take a signal.
    Will likely be back to get more. Thanks
    Here is my site : good businesses To start up

    ReplyDelete
  7. Thanks a lot for sharing this with all folks you really
    recognise what you're talking about! Bookmarked. Please also consult with my site =). We could have a hyperlink exchange agreement among us
    Also visit my webpage :: private krankenvesicherung

    ReplyDelete
  8. Hi to every single one, it's really a nice for me to visit this web site, it consists of important Information.
    Have a look at my website ; fed loans consolidation

    ReplyDelete
  9. Greetings from California! I'm bored to death at work so I decided to browse your blog on my iphone during lunch break. I enjoy the info you present here and can't wait to take a look when I get home.
    I'm amazed at how quick your blog loaded on my phone .. I'm not even using WIFI, just 3G .
    . Anyways, superb blog!
    Also visit my weblog ... exotic vacations all inclusive

    ReplyDelete
  10. Hi there, just became aware of your blog through Google, and
    found that it is really informative. I am going to watch out for brussels.
    I'll appreciate if you continue this in future. Lots of people will be benefited from your writing. Cheers!

    Here is my web page - seo articles

    ReplyDelete
  11. You could certainly see your skills in the article you write.
    The arena hopes for more passionate writers like you
    who are not afraid to mention how they believe. All the time go after
    your heart.

    Also visit my blog ... kredit für azubis

    ReplyDelete
  12. One=All Syndrome: each tantriс massаge іn eaѕtern holistic meԁіcal ρractices.



    Also visit my web site; tantric massage london
    my web site: erotic massage london

    ReplyDelete

Pages