HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

May 30, 2013

Rais Kikwete awasili Japan Kuhudhuria Mkutano wa 5 TICAD

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Narita,Japan ambapo atahudhuria Mkutano wa tano wa (TICAD)unaofanyika katika mji wa Yokohama.Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Japan Bibi Salome Sijaona(picha na Freddy Maro).

No comments:

Post a Comment

Pages