HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 02, 2013

ALICE ASHINDA TAJI LA REDD'S MISS DAR CITY CENTER

 Mshindi wa Redd's Dar City Center, Alice Isack (katikati) akiwa na mshindi wa pili, Clarah Paul (kulia) na mshindi wa tatu, Fatma Hussein (kushoto). (Picha na Habari Mseto Blog)
 Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu (kushoto) akiwa na wadau wa urembo.
 Warembo walioingia katika hatua ya tano bora.
 Jaji Mkuu wa shindano hilo Wema Sepetu akiwa na majaji wenzake wakifuatilia shindano la Redd's Miss Dar City Center.
 Hoyce Temu akitoa utaratibu wa kujibu maswali.
 Meneja wa Kinywaji cha Redd's, Victoria Kimaro (shoto) akifuatilia shindano hilo.
 Wasanii wakitoa burudani.
 Wadau wakifuatilia shindano hilo.
Redd's Miss Dar City Center, Alice Issack 
Washindi wakiwa na zawadi zao.

No comments:

Post a Comment

Pages