HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 06, 2013

MEZ B: SITAMSAHAU ALBERT MANGWEA

Na Elizabeth John

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Moses Bushamaga, amesema hawezi kumsahau msanii mwezie marehemu Albart Mangweha ‘Ngwea’ kutokana na kuwa na ushirikiano mzuri na wenzie anapokuwa kazini.

Akizungumza na Habari Mseto, Mez B alisema Ngwea alikuwa ni msanii ambaye anajua nini anachokifanya katika tasnia hiyo, pia alikuwa anaonesha ushirikiano wa kutosha kwa wasanii wenzie.

“Kiukweli Ngwea hakuwa kama wasanii wengi wa kisasa kwamba kuwabagua wenzie na kujiona yeye ndio staa, yeye alikuwa anaona wote wapo sawa na wapo kwa ajili ya kutafuta na sio majungu,” alisema Mez B.

No comments:

Post a Comment

Pages